Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
Dean wa UDSM School of Law kawatoa wasiwasi wanafunzi wake wanaomaliza masomo yao mwaka 2009 kwamba tamko la Waziri kuwa Law School haitakuwa lazima kuanzia mwaka huu wa fedha halina mashiko,na kama Bunge litakalokutana Novemba litataka kubadilisha Sheria ili Law School isiwe lazima, basi wanafunzi hao wajikusanye na kwenda kwenye Public Hearings Dodoma ili kutoa malalamiko yao kwa kamati..........wadau,wanafunzi hawa wanamaliza bila kupata mafunzo yoyote kwa miaka 4 waliyosomea shahada yao ya Sheria;
1. wataweza kuzuia muswada huu kama utapelekwa kwenye kamati na hatimaye bungeni kujadiliwa?
2. watajipanga vipi kwenda Dodoma wakati most of them ni watoto wa wakulima, na watakua makwao by then?
3. je, tunapoelekea ili uweze kuwa wakili wa kujitegemea, ni lazima utoke kwenye familia inayojiweza tu?
4. is it right to say that law profession imekua ni kwa matajiri na watoto wa wakubwa tu?
1. wataweza kuzuia muswada huu kama utapelekwa kwenye kamati na hatimaye bungeni kujadiliwa?
2. watajipanga vipi kwenda Dodoma wakati most of them ni watoto wa wakulima, na watakua makwao by then?
3. je, tunapoelekea ili uweze kuwa wakili wa kujitegemea, ni lazima utoke kwenye familia inayojiweza tu?
4. is it right to say that law profession imekua ni kwa matajiri na watoto wa wakubwa tu?