rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,442
Chanzo??
Itakuwa maslahi.
Chanzo??
Watu wanapiga maela
Jamani babu Duni wapiiiiiiiiiiiiii! au ndo kasepa kiana
Bora Lipumba aligundua mapema kua UKAWA ya sasa inaelekea kuiua CUF akasepa. Duni na akili zake kama jina lake kaimaliza kabisa CUF
Nyie new member bwana mna shidaa sana mtu kajisajili jana tu, mie siku hizi naangalia na mleta post amejisajili lini ndio naweza soma content zake
Waache wapige mwisho wao october, Magufuli atawashughulikia.
Kopi and pesti ... hayo ya kwenu ficm sisi hatuna habar hizoMvutano mkali wa kutoaminiana umejitokeza miongoni mwa kamati tendaji ya Lowasa, shutuma kali za kufichua taarifa muhimu za vikao na kuzipeleka CCM zimekuwa zikitolewa kwa Masha. Hofu imetanda kuwepo na wasaliti ndani ya kamati ya mzee kitendo ambacho baadhi yao wamedai kufanya maamuzi magumu endapo hali hiyo itaendelea. Aidha swala la matumizi ya feza nalo limezua mvutano mkali, wapo wanaotumia feza kwa kujinufaisha na sio kwa kazi ya mzee.
Mvutano mkali wa kutoaminiana umejitokeza miongoni mwa kamati tendaji ya Lowasa, shutuma kali za kufichua taarifa muhimu za vikao na kuzipeleka CCM zimekuwa zikitolewa kwa Masha. Hofu imetanda kuwepo na wasaliti ndani ya kamati ya mzee kitendo ambacho baadhi yao wamedai kufanya maamuzi magumu endapo hali hiyo itaendelea. Aidha swala la matumizi ya feza nalo limezua mvutano mkali, wapo wanaotumia feza kwa kujinufaisha na sio kwa kazi ya mzee.
Mbona kila leo migogoro, poleni Ukiwa.
Chanzo??
Mmm hii ipo ccm tunatambua sana ...ogopa ulipo tupo,, acha fitina
Ukawa ni watu wa migogoro, kila mtu anataka kupiga pesa, tamaa sana hawa watu.
Vichinjio tunashawishiana jumapili asubuhi tupo kituoni
Tupe chanzo kaka siyo unatunga uongo kugombanisha watu
Hata Magufuli alitamka waziwazi wanamuhujumu wenzake,mchana CCM usiku UKAWA
Jamani babu Duni wapiiiiiiiiiiiiii! au ndo kasepa kiana
Nyie new member bwana mna shidaa sana mtu kajisajili jana tu, mie siku hizi naangalia na mleta post amejisajili lini ndio naweza soma content zake