Laurence Masha mbioni kufanya maamuzi magumu

Ubora

JF-Expert Member
Sep 27, 2015
664
255
Mvutano mkali wa kutoaminiana umejitokeza miongoni mwa kamati tendaji ya Lowassa, shutuma kali za kufichua taarifa muhimu za vikao na kuzipeleka CCM zimekuwa zikitolewa kwa Masha.

Hofu imetanda kuwepo na wasaliti ndani ya kamati ya mzee kitendo ambacho baadhi yao wamedai kufanya maamuzi magumu endapo hali hiyo itaendelea.

Aidha swala la matumizi ya feza nalo limezua mvutano mkali, wapo wanaotumia feza kwa kujinufaisha na sio kwa kazi ya mzee.
 
Mvutano mkali wa kutoaminiana umejitokeza miongoni mwa kamati tendaji ya Lowasa, shutuma kali za kufichua taarifa muhimu za vikao na kuzipeleka CCM zimekuwa zikitolewa kwa Masha. Hofu imetanda kuwepo na wasaliti ndani ya kamati ya mzee kitendo ambacho baadhi yao wamedai kufanya maamuzi magumu endapo hali hiyo itaendelea. Aidha swala la matumizi ya feza nalo limezua mvutano mkali, wapo wanaotumia feza kwa kujinufaisha na sio kwa kazi ya mzee.

Mbona kila leo migogoro, poleni Ukiwa.
 
Mvutano mkali wa kutoaminiana umejitokeza miongoni mwa kamati tendaji ya Lowasa, shutuma kali za kufichua taarifa muhimu za vikao na kuzipeleka CCM zimekuwa zikitolewa kwa Masha. Hofu imetanda kuwepo na wasaliti ndani ya kamati ya mzee kitendo ambacho baadhi yao wamedai kufanya maamuzi magumu endapo hali hiyo itaendelea. Aidha swala la matumizi ya feza nalo limezua mvutano mkali, wapo wanaotumia feza kwa kujinufaisha na sio kwa kazi ya mzee.

Mzee huyo mnamtesa bure wakati bado anasubilia kifungo
 
Aibu yako mgombea wenu kilasku ndoanalalamika majukwaan kua wanamsalit,mcha wakonae usku wapo kwa ukawa na bao hd mkome namagamba yenu
 
Mvutano mkali wa kutoaminiana umejitokeza miongoni mwa kamati tendaji ya Lowasa, shutuma kali za kufichua taarifa muhimu za vikao na kuzipeleka CCM zimekuwa zikitolewa kwa Masha. Hofu imetanda kuwepo na wasaliti ndani ya kamati ya mzee kitendo ambacho baadhi yao wamedai kufanya maamuzi magumu endapo hali hiyo itaendelea. Aidha swala la matumizi ya feza nalo limezua mvutano mkali, wapo wanaotumia feza kwa kujinufaisha na sio kwa kazi ya mzee.

Mchana ccm, ucku ukawa hahahaaa ulipo tupo!! Turoka uje acha unafki
 
Mvutano mkali wa kutoaminiana umejitokeza miongoni mwa kamati tendaji ya Lowasa, shutuma kali za kufichua taarifa muhimu za vikao na kuzipeleka CCM zimekuwa zikitolewa kwa Masha. Hofu imetanda kuwepo na wasaliti ndani ya kamati ya mzee kitendo ambacho baadhi yao wamedai kufanya maamuzi magumu endapo hali hiyo itaendelea. Aidha swala la matumizi ya feza nalo limezua mvutano mkali, wapo wanaotumia feza kwa kujinufaisha na sio kwa kazi ya mzee.
Join Date : 27th September 2015
Posts : 33
Rep Power : 307
Likes Received4
Likes Given0

Utakuwa umeingia kwa ID nyingine kwa kazi maalum, nyie ndo mnaleta machafuko kwa kuzomea wagombea. Wacheni watangaze sera zao, wananchi wanaona pumba na mchele.
 
Back
Top Bottom