Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Mswahili,
Usemayo yote ni sahihi kabisa.Mkapa hakuwa na uzalendo wa nchi. Aliwatanguliza wageni (makaburu) badala ya kuwawezesha wananchi. Lakini asemayo Kichwamaji ni kweli. Nilimsikia Mkapa kwa masikio yangu akisema "over my dead body" juu ya JK kuwa rais. Sasa next time nikikutana naye nina swali moja tu: what happened, Mr. President?
Jasusi, was it on JK or SAS the "over my dead body" statement?