Miaka kama miwili nilifika Singida kwa shughuli maalumu,niliweza kujifunza mambo kadhaa mazuri hasa kule Mtinko/Ilongelo. Nikawa na hamu ya kufika Tabora,akina Elinino/Sikonge walinipa ABC za huko. Mwaka huu nilimtuma mjumbe wangu Singida aende Wanda, Wanda kuna vitunguu sana,ila mwaka huu Wanda wamepata hasara sana.
Kuna kipande cha kutoka Itigi kupitia Chunya mpaka Mby. Kipande hiki kina uchumi sana na kimesahaulika sana, naomba uniambie miundombinu ya barabara,maji kwa kipande hicho ikoje. Na je siku za usoni kuna mipango gani. Nataka kuwekeza huko. Sikwenda Tabora kwa sababu ya majukumu mengi,ila na-plan kwenda huko Tabora na nikitoka huko nipitie Itigi kwenda Mby.
Hii haina maana ni LAT tu ndio anisaidie kupata data, ye yote anaweza kunipa. Nawasilisha.
Kuna kipande cha kutoka Itigi kupitia Chunya mpaka Mby. Kipande hiki kina uchumi sana na kimesahaulika sana, naomba uniambie miundombinu ya barabara,maji kwa kipande hicho ikoje. Na je siku za usoni kuna mipango gani. Nataka kuwekeza huko. Sikwenda Tabora kwa sababu ya majukumu mengi,ila na-plan kwenda huko Tabora na nikitoka huko nipitie Itigi kwenda Mby.
Hii haina maana ni LAT tu ndio anisaidie kupata data, ye yote anaweza kunipa. Nawasilisha.