Nauza laptop used dell d610,d620 na hp kwa bei ya laki6-unaweza kuwasiliana nami kupitia abcally@gmail.com
Mzee bei sijuu,nibei yakaida -sio sawa nazile zinazoibiwa mitaani maana hata laki 2 wanauza.Hizi zinapatikana kihalali na bei nipoa. Laki6 ndio kiwango chalaptop.
Mzee bei sijuu,nibei yakaida -sio sawa nazile zinazoibiwa mitaani maana hata laki 2 wanauza.Hizi zinapatikana kihalali na bei nipoa.
Laki6 ndio kiwango chalaptop.
Mimi juzi tu nimenunua mpya US laki 7 tu! tena nzuri Compaq na ni poa!
Washikaji si nimewapa namba yasimu 0754-710288 nina aina mbalimbali sasa bei nihapo utakaponipigia.Unaweza pia kunipata kwa e-mail abcally@gmail.com.
Kweli kabisa, hebu mwaga sifa za laptop hizo na bei zake. Kwa nini ufiche?Mkuu hizo laptop zako ni za wizi? tupatie sifa zake hapa na bei biashara ya kutumia pesa zetu kukupia simu halafu tukute mzigo wenyewe sio mzuri italeta usumbufu kidogo...ukiweka sifa zake hapa itakuwa vizuri maana tutakupigia simu na kuwa na uakika na kile tunacho hitaji .