rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
nimejaribu kutafuta kwenye net nasikia kuna software inakuwa installed kwenye laptop kama security,hiyo laptop kama itaibiwa unaweza kujua iko mitaa gani,tumeibiwa laptop karibu saba ndani ya mwaka mmoja,msaada ili tuweze kukamata wezi wetu na kuwajua,na je nauliza inafanyaje kazi?