Laptop Lenovo

Dio

JF-Expert Member
Feb 8, 2011
1,274
158
Mambo vipi wakuu natumaini wote ni wazima
nina tatizo kuhusu laptop aina ya lenovo E40
tatizo lake ipo katika lugha ya kichina sasa nimejaribu kuchange iwe ya english nimeshindwa,ila kwenye keybord ipo in english,na ni window7
 
Daa hiyo iliibiwa kutoka kwa mchina nini madili mengine bongo siku hizi hewa……. labda kopi yake ya OS niyakichini orijinal hapo ndo kwenye katatizo
 
Daa hiyo iliibiwa kutoka kwa mchina nini madili mengine bongo siku hizi hewa……. labda kopi yake ya OS niyakichini orijinal hapo ndo kwenye katatizo

jamaa yangu ndio aliyekuwa anaitumia na kasema kuwa ilikuwa ktk lugha ya kiingereza ila hajui alikogusa mpaka akachange lugha nimejaribu kuifuatisha na pc katika kubadilisha lugha bt nimeshindwa.
 
Mambo vipi wakuu natumaini wote ni wazima
nina tatizo kuhusu laptop aina ya lenovo E40
tatizo lake ipo katika lugha ya kichina sasa nimejaribu kuchange iwe ya english nimeshindwa,ila kwenye keybord ipo in english,na ni window7

Huna haja ya Kuload upya OS


Sasa mkuu kama kwenye keyboard iko in english ni wapi unapopata kichina?

Anyway
Jaribu kwenda kwenye contrl pannel then tafuta keyboard huko kuna masetting kibao. Gooogle "kenyabdr language setting" utaona malekezo mazuri. Kwa kuanzia soma hii hapa Installing East Asian Language Support under Windows XP
 
Back
Top Bottom