Natafuta laptop ya mdogo wangu! bei hiyo hapo juu aliyenayo karibu. Anitumie spesic za hiyo laptop asanteni!
Jaman mwandishi kweli???
Wakupendwa Hiyo Pesa Mingi sana Nenda Kampala utapata tena mpyaaaa? Au ni PM nikuletee utanirudishia pesa sawa Usijali Kuanzia dola 250,300, kwahizo laptop ndogo na pia hata ukiongea vyema unapata kwa usd 200 ni sawa na ngapi zidisha mara 1500. ni PM nikupe namba zangu
Nenda Kariakoo zipo hata za laki tatu kwenye maduka ya wasomali ni used , HDD kama GB 40 au 60 kama ni kwa kuandikia notes na kuangalia picha au kutumia intaneti huo ukubwa unatoshasidhani kama utapata laptop ya maana kwa bei hiyo,laptop nzuri ni kuanzia angalau laki 9 kwa bongo
labda used au nunua net book kwa laki 5 au laki 6 lakini mpendwa kwa bei hiyo sijui
Natafuta laptop ya mdogo wangu! bei hiyo hapo juu aliyenayo karibu. Anitumie spesic za hiyo laptop asanteni!
Dada yangu waulize watu specifications maana yake nini. Sasa wewe mtu akuuzie kilaptop kina GB 40 au 60 na RAM 256 au IG hivi ni kilaptop gani hicho? Utahangaika na kitakuwa kinaspeed ndogo. Waombe waliopo nje utapata lapto nzuri.hiyo story ya Uganda ni utata tujamani mimi sijui niitoe wapi hiyo laki 1 ila hii ndo yeye anataka alisema