unaweza kuniletea Ilala? nahitaji sana hatuna haja ya ku discuss bei
Hiyo inaapply upande wako zaidi! Yeye amesema bei haina mjadala, atakata pesa fasta! wewe uliza yuko pande zipi na umkute wapi mmalize biasara! Usipomkuta basi unarudisha kitu dukani....hasara ya sh. elfu kumi ya mafuta si mbaya sana! just kiddin...lolzInawezekana kama uko serious na biashara!