Kazakuku
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 354
- 110
Wana jf naombeni ushauri nimsaidie nimpatie swahiba wangu.. Anasimamia mirathi ya kaka yake ambaye ni marehemu,tatizo ni kwamba huu ni mwaka wa 3 tatu sasa, anazungushwa wakati kila kitu alishakamilisha kila akienda ktk ofis zao wanamwambia bado.Tafadhari jaman anaomba ushauri afanyeje ..Nawathilisha.