Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
WanaJF anomba ushauri ktk hili:
Lap top yangu ni aina ya HP Pavilion dm3. Inapata sana joto ninapokuwa natumia ikiwa connected kwenye umeme, zaidi ni pale nikitumia internet.
Na ikitokea hivi huwa fan yake inapuliza sana. Kwa kawaida ninaitumia ikiwa kwenye meza yenye kitambaa. Lakini nikiitumia kwa battery yake tu, haipati joto kabisa na inakuwa silent ninaweza kuitumia hata masaa 2-3 bila kuzima.
Je, hivi ndio inaanza kuchoka kwa style hii? What can be the solution?
Lap top yangu ni aina ya HP Pavilion dm3. Inapata sana joto ninapokuwa natumia ikiwa connected kwenye umeme, zaidi ni pale nikitumia internet.
Na ikitokea hivi huwa fan yake inapuliza sana. Kwa kawaida ninaitumia ikiwa kwenye meza yenye kitambaa. Lakini nikiitumia kwa battery yake tu, haipati joto kabisa na inakuwa silent ninaweza kuitumia hata masaa 2-3 bila kuzima.
Je, hivi ndio inaanza kuchoka kwa style hii? What can be the solution?