Asante mkuu kwa ushauri, mimi sio mtaalamu sana wa magari lakini kwa nini unasema TDI sio nzuri kuliko TD5? zina tofauti gani? Je TD5 inaweza ikapatikana kwa bei gani maana bajeti yangu sio kubwa sana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.