N Ndinani JF-Expert Member Aug 29, 2010 6,938 3,825 Aug 27, 2012 #4 Unaogopa nini kuweka picha; zisije kuwa ndio masalia ya zile za Mponjoli!!!
RealMan JF-Expert Member Nov 9, 2010 2,367 1,388 Aug 27, 2012 #5 Kila kitu Tanzania ni confidential...... Hujaweka bei ninakuwaje interested buyer???
senior citizen Member Oct 12, 2011 50 11 Aug 27, 2012 #6 Ndinani said: Unaogopa nini kuweka picha; zisije kuwa ndio masalia ya zile za Mponjoli!!! Click to expand... Mkuu mponjoli amefanya nn tena naomba kujuzwa coz ckuwa na access ya mtandao kwa muda kidogo... Pole kwa usumbufu.
Ndinani said: Unaogopa nini kuweka picha; zisije kuwa ndio masalia ya zile za Mponjoli!!! Click to expand... Mkuu mponjoli amefanya nn tena naomba kujuzwa coz ckuwa na access ya mtandao kwa muda kidogo... Pole kwa usumbufu.
Dreamliner JF-Expert Member Jan 17, 2010 2,034 213 Aug 27, 2012 #7 Wakunyumba,,,,, hukujiandaa kuuza gari? Au bado ziko njiani zinakuja kwa meli?