Tunajiandaa kujionea senema ya bure ya watu wazima kutembea wakiwa watupu kutoka Posta hadi Kimara Bonyokwa. Au kijinyonga kama ulivyoahidi.Ahadi yangu ipo pale pale...
Tunajiandaa kujionea senema ya bure ya watu wazima kutembea wakiwa watupu kutoka Posta hadi Kimara Bonyokwa. Au kijinyonga kama ulivyoahidi.Ahadi yangu ipo pale pale...
Aisee, kumbe ni mfuasi mzuri wa neno la Kristu! Ubarikiwe sana!... ni sawa na ngamia kupenya katika tundu la sindano.
vipi helcopta inatua lini Uzini?
ustaadhi Barubaru aka dr.Hamza, ebu nihakikishie kwamba wewe ndie hasa utakaye hesabu kura na kutangaza matokeo. By the way, imekuwaje mmewaacha solemba wale watoto pale Ndanda, huu sio uungwana hata kidogo.Nafasi ya ushindi wa chadema jimbo la uzini ni sawa na ngamia kupenya katika tundu la sindano.
Ok jitahidini labda ataweza kupenya.
Uzini yaweza kuleta tafsiri mpya kwa siasa za visiwani,tusubiri tuone
vipi helcopta inatua lini Uzini?
Ile aliyolipia Rostam?vipi helcopta inatua lini Uzini?
Hakika CDM inatisha.Kuna ndugu yangu anafanya kazi Zanzibar kaniambia CDM sasa ni gumzo si Uzini tu bali Zanzibar yote.Amenihakikishia kama hakutakuwa na wizi CDM itapata ushindi mkubwa.Kaniambia CDM inaungwa mkono sana na Kinamama na vijana.
Ahadi yangu ipo pale pale...