duuh hahaha! Jaman nw kwl huu utan sasa wa si wingi?hivi kwanini wabunge wanapenda kutumia neno "KWA" mfano kwa mujibu wa kifungu fulan, kwa niaba ya fulan. <br />
hivi kwanini makabila yote yanaanziwa na "WA" wamasai,wahaya,wachaga,wangon,wapare,wanyakyusa,wazaramo,n.k kwanini?
<br />duuh hahaha! Jaman nw kwl huu utan sasa wa si wingi?
Sasa mdogo wangu haruhusiwi kuniulizia ?Nawe Preta hujambo? Achana huyo Uporoto.
<br /><br /><br />
<br /><br />
uliona wap kabila lina wing au kiswahili umechelewa
mi sijambo, uporoto leo kaamka na malalamiko tu.
Umemfanyaje uporo?
dawa ya mswaki na chini ya uvungu
Hahahaha! hii kweli kali mkuu nimecheka sana.Hivi kwanini wewe nurse(nesi) unamuamsha mgonjwa ili ameze vidonge vya kumpa usingizi.