- Thread starter
- #21
Wanamaanisha kilimo tofauti na cha kawaida lol!Hivi kwanini kauli mbiu ya "Kilimo kwanza" inatumika hadi mjini wakati sehemu za kulima hatuzioni
Wanamaanisha kilimo tofauti na cha kawaida lol!Hivi kwanini kauli mbiu ya "Kilimo kwanza" inatumika hadi mjini wakati sehemu za kulima hatuzioni
Hivi kwanini .,...................oops! Nimesahau! Nitarudi.
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">ulikuwa unataka kusema......kwa nini Yaeda haiwi karibu na Mpwapwa......</span></font></font>
nawe kwa kusahau bana,kuna kijinguo(jina kapuni) ulikisahau hapa utakipitia au ni kumbukumbu ?Hivi kwanini .,...................oops! Nimesahau! Nitarudi.
hahahaha! Ahsante kwa kunikumbusha. Lol!
Mzima wewe?
<br />nawe kwa kusahau bana,kuna kijinguo(jina kapuni) ulikisahau hapa utakipitia au ni kumbukumbu ?
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">mzima kabisa.....mzima wewe?.....umemuona uporoto01.....?</span></font></font>
usijali utaikuta pale pale kwenye dressing table.tunamark territory! Lol! Tena usikafiche fiche.
tunamark territory! Lol! Tena usikafiche fiche.
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">mzima kabisa.....mzima wewe?.....umemuona uporoto01.....?</span></font></font>
<br />Kwanini makambi mengi ya wanajeshi yako Dar na tunaambiwa kazi ya jeshi ni kulinda mipaka ya nchi ?
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">nimependa style yako ya kumaki teritori.......</span></font></font>
<br />Ukienda vijijini ccm wanaiita nyerere.