Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,829
- 33,224
Fika Mbeya mjini au Uyole. Panda gari ziendazo Tukuyu au Kyela. Shuka kituo kiitwacho number one.Eneo hili ndipo waliungua na mafuta ya petroli watu wengi miaka ya nyuma baada ya kuanza kukinga mafuta toka lori lililopinduka!. Hapa tafuta wazee wenye busara na wenyeji wakuelekeze taratibu za kwenda ziwani. Usiwe curious na kwenda peke yako kwa kutumia GPS,Google maps nk. Waliojaribu u kisasa hawakurudi!
Nashukuru sana