Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
It's very simple really, maji ya ziwa yote yanatokea mito iliyoko Tanganyika. Kwa hivyo tukiya-divert maji ya hiyo mito kuelekea ziwa Rukwa ziwa Nyasa (or whatever they call it) halitakuwepo. Ama tuna share au wanakosa mwana na maji ya moto.