no9
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 188
- 18
Mara nyingi hutokea mtoto anayezaliwa nje ya ndoa huwa ni wa baba tu wa mama tunampataje?MAANA YANGU NI HIVI MTOTO ANAJUMUISHWA KWENYE HUYO FAMILIA JAPO HUTOKEA KUTOKUELEWANA KWA BABA NA MAMA LAKINI SULUU HUPATIKANA WAJUA MAMA ZEYU NI WAPESI WAKUSAMEHE SASA TUGEZE UPANDE WAPILI MFANO MAMA KATIWA MIMBA NA BOSS WAKE HUU NI MFANO TU,BABA ATAJUAJE KWAMBA HUYU SIO MTOTO WAKE?