LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,098
- 27,068
Ni wazi kuwa , LadyJay Dee na Clouds bifu lao linazidi ku mature kadri siku zinavyo kwenda, hebu tazama maandishi haya ya Jide. Yasome mwenyewe halafu uniambie kama umeona nilicho kiona.
..................................................Mwaka huu narudi tena kuadhimisha miaka 13 ya
Lady JayDee, With a New Team.
Nawaletea fans wangu Album yangu ya 6
Inaitwa "Nothing But The Truth"
Ina Jumla ya nyimbo 10, na zote ni ukweli wa maisha ya kila siku yanayoendelea humu duniani tunamoishi.
Single ya kwanza mmeisikia, na ninashukuru mmeipokea kwa mikono miwili
JOTO HASIRA
Na mimi nasema Amen
Tanzania niwape nini tena zaidi ya Shukrani?
Mmekuwa mkinibeba siku zote.
Nawapa dodosa tu ya yanayokuja, tarehe?, siku? muda? na mahala? nitawafahamisha punde kila kitu kikikaa kwenye mstari.
Mbali na Lady JayDee kutakuwa na wasanii wengine wakubwa watakaoshiriki katika show hiyo kubwa ya kihistoria.
( Endeleeni kutegea sikio vituo mbalimbali vya radio kama
East Africa Radio, Magic FM, Times Fm
Na television zingine kama EATV, Channel ten na Star TV.
Ili kufahamu nini kinakuja kwenye show hii )
Familia ya pili yani LA FAMILLE 2
Itaundwa kabla ya show hii ya miaka 13 ya JayDee
Na wote watapata fursa ya kuhudhuria show zote Dar na Mikoani, pindi wapatapo nafasi.
Tayari wamekwisha patikana members 6 bado 14 kutimiza idadi ya 20.
Famille inatakiwa kuwa na watu 20 tu.
Do u wana be one of them??? Kazi kwako
Kutakuwa na dinner ya pamoja na La Famille 2
Wiki mbili kabla ya show kubwa kufanyika
Na mwisho
Nashukuru na radio zooote za mikoa yote ya Tanzania mlioipokea Joto Hasira, kuwataja mmoja mmoja naweza shindwa ila habari nimezipata na ninasema hiviiii
Mapenzi tele kwenu nyote
MSISITIZO WANGU UPO KWENYE SENTENSI ZILIZO PIGIWA MSTARI..
..................................................Mwaka huu narudi tena kuadhimisha miaka 13 ya
Lady JayDee, With a New Team.
Nawaletea fans wangu Album yangu ya 6
Inaitwa "Nothing But The Truth"
Ina Jumla ya nyimbo 10, na zote ni ukweli wa maisha ya kila siku yanayoendelea humu duniani tunamoishi.
Single ya kwanza mmeisikia, na ninashukuru mmeipokea kwa mikono miwili
JOTO HASIRA
Na mimi nasema Amen
Tanzania niwape nini tena zaidi ya Shukrani?
Mmekuwa mkinibeba siku zote.
Nawapa dodosa tu ya yanayokuja, tarehe?, siku? muda? na mahala? nitawafahamisha punde kila kitu kikikaa kwenye mstari.
Mbali na Lady JayDee kutakuwa na wasanii wengine wakubwa watakaoshiriki katika show hiyo kubwa ya kihistoria.
( Endeleeni kutegea sikio vituo mbalimbali vya radio kama
East Africa Radio, Magic FM, Times Fm
Na television zingine kama EATV, Channel ten na Star TV.
Ili kufahamu nini kinakuja kwenye show hii )
Familia ya pili yani LA FAMILLE 2
Itaundwa kabla ya show hii ya miaka 13 ya JayDee
Na wote watapata fursa ya kuhudhuria show zote Dar na Mikoani, pindi wapatapo nafasi.
Tayari wamekwisha patikana members 6 bado 14 kutimiza idadi ya 20.
Famille inatakiwa kuwa na watu 20 tu.
Do u wana be one of them??? Kazi kwako
Kutakuwa na dinner ya pamoja na La Famille 2
Wiki mbili kabla ya show kubwa kufanyika
Na mwisho
Nashukuru na radio zooote za mikoa yote ya Tanzania mlioipokea Joto Hasira, kuwataja mmoja mmoja naweza shindwa ila habari nimezipata na ninasema hiviiii
Mapenzi tele kwenu nyote
MSISITIZO WANGU UPO KWENYE SENTENSI ZILIZO PIGIWA MSTARI..
With Lots of Love n Respect to you all.
Komando JIDE
a.k.a
ANACONDA
Komando JIDE
a.k.a
ANACONDA