Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,599
- 112,652
Kumbe ni zamani Oooh haya
Dah me pia nilijua uzi currentKumbe ni zamani Oooh haya
Au labda amepandikiza anaweza afanye hivyo ili kibao kimgeukie Glabda kama kabeba jiwe
Kwani madame ana jisaidia wima?Mkuu ni bora ungeandika hata thread ya kuisifia familia yako,sasa wewe kwa akili yako unashangaa JD kuwa na mimba?si anakojoa huku amechuchumaa sasa sa cha ajabu kipi hapo?
Uzinzi huuHongera jd! No matter what ni m(wa)toto kwa njia ya chupa (IVF) au kawaida itabaki kuwa wako tu. Matatizo ya uzazi yanawasibu wengi kama umejaliwa kupata ujauzito mshukuru MUNGU wako. Look here, from 1978 todate over 4mil children have been born by mothers then said to be infertile. She's not the only1. Mungu anajua chochote unachosema, wengine hawajui majaliwa yao. Ikiwatokea kutopata mtoto watamuomba Mungu huyo huyo. Kama kweli ni mjamzito, mi nakuombea upate mapacha.