kinyoba
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 1,267
- 718
Mtoa mada hebu jaribu kutuelewesha sisi tusiomjua JD ni nani. Je alikuwa tasa sasa amepona? Je alikuwa hana mume au mumewe nae alikuwa mgumba? Je ni ndugu yako hadi ukajua alikuwa ananyanyasika katika ndoa yake? Je alitafuta mtoto akakosa au ni mipango yake?