King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,602
- 68,505
There are currently 113 users browsing this thread. (21 members and 92 guests)
niaje arifu....sredi ya mange na sinta mbona siioni?? Haki nimekuja cafee kwa ajili hiyo...Ametoa msimamo mzuri ila tatizo amechelewa sana
Hao Clouds ndiyo waliomtoa Jaydee, ina maana leo kasahau? kweli shukrani ya mapunda mateke!
hili nalo neno. Na kingine ni pale mumewe alipoamua kuenda times fm badala ya kurudi clouds na pia baada ya jaydee kupeleka kipindi chake eatv.ila ninachomlaumu huyu dada,prof j,q chillah na wasanii wengine wakubwa wanaobaniwa ni kwamba wakati mh.sugu anapambana na tabia hii chafu,hawa walinyamaza kimya hata kukemea tu walishindwa!,hawajachelewa,wajiunge na harakati za sugu!. Q chillah pia aliwahi kulalamika na kuwachana live watangazaji wa xxl wa radio hiyohiyo tena wakiwa wanamuhoji. Chunguza umesikia lini mara ya mwisho nyimbo za 20% kwenye radio hiyo? Tena zote zina beat na maadili mazuri tu! Kuna nyimbo hapo clouds zinapigwa kutwa mara tano na ukizichunguza hazina radha wala maadili!
Alikuwa Wapi wkt kina Sugu, Inspektah wanalalamika? Leo kimegeuka u want us to sympathize with u...? U reap what u sow mommy!
Haiwezi kuporomoka hadi redio nyingine zitakaposikika mikoani kama clouds!Hapa nilipo ninalazimika kuisikiliza na miziki yao wanayoipenda ikiniboa nazima kwanza!Vijiredio vyetu(local)vinaiga mabaya yoote ya clouds mf kuongelea puani na miziki ile ile ya wasanii walewale hadi kero!Radio nyingine mko wapi?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
JD haeleweki!hao ndio wamekupatisha chart na kwaya zako!unatakiwa uwe na subira ujipange jinsi kuwakilisha malalamiko yako!umeonana na uongozi tena kaka yako Joseph?amekataa kukusikiliza au ndio vidume vinakugombania?Ruge na G?usitukane mamba...:vituo viko vingi sana si lazima clouds tu!pia uwe na shukrani upunguze kuropoka umeshakuwa mtu mzima miaka 45 sasa si mtoto wewe!unaelekea kuwa bibi!
Hao Clouds ndiyo waliomtoa Jaydee, ina maana leo kasahau? kweli shukrani ya mapunda mateke!
JD haeleweki!hao ndio wamekupatisha chart na kwaya zako!unatakiwa uwe na subira ujipange jinsi kuwakilisha malalamiko yako!umeonana na uongozi tena kaka yako Joseph?amekataa kukusikiliza au ndio vidume vinakugombania?Ruge na G?usitukane mamba...:vituo viko vingi sana si lazima clouds tu!pia uwe na shukrani upunguze kuropoka umeshakuwa mtu mzima miaka 45 sasa si mtoto wewe!unaelekea kuwa bibi!