Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 656
Mengi ya yanayojiita makabila kule Mara ni KOO tu. Makabila ya kweli yako matatu tu; Wakurya( humo utakuta Wasizaki ambao pia huitwa washashi wa JD, Wazanaki, Wangoreme, Waikoma, Wanata, Wakurya wenyewe, Waikizu, Waisenye, Wakabwa, Wasimbete, Wakiroba,... Kabila la pili ni Wajita( humo utawakuta Waruri, Wakwaya na Wajita wenyewe), kabila la tatu ni Wajaluo ambao nao wana viukoo vidogovidogo vya Wategi, Wasuba?, ...Makundi haya makubwa matatu ndio yanayounda mkoa ule wa watu jasiri sana, msimamo sana, na kuuana na kutwangana kwa sana!
Hakuna cha ujasiri wala msimamo ni upuuzi mtupu. Lakini kwa vile wanauana wao kwa wao na hawavuki mipaka kwenda mikoa mingine, na ukiongean na wakurya wao wanasema hayo ni mambo ya kawaida basi tuwaache waendelee na huo ujasiri uajinga ambao wao wana-proud kuwa wanamsimamo