Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Hata, hizo ni baadhi ya vijitabia which i dislike. Kati ya simu 10 akipiga 8 lazima ni za gharama. duh!
Mmmmhhh makubwa haya tena gharama????
Hata, hizo ni baadhi ya vijitabia which i dislike. Kati ya simu 10 akipiga 8 lazima ni za gharama. duh!
PD unajua Mungu ame2pendelea us men ndomana at th end 2napata a lady wa ukweli.. Hawa wa dada wa muhundo huu technologyia imewaacha wng wao..dawa fukuza unavuta kipya
Man ila chozi la mwanamke noma, huogopi? Bora kupotea kimya kimya.
need i say more!!pole prime,kweli hiyo tabia baadhi ya wanawake wanayo ni mbaya sana....hakuna mtu anapenda kujihisi anatumika vibaya,si sahihi na wala haipendezi mtu kumtumia mtu vocha halafu asiwasiliane na wewe hadi wakati akihitaji tena vocha....wengine hadi wanatumia wanaume wengine vocha anayotumiwa na mpenzi wake.ni tabia mbaya sana na hapa hata mwanaume akimfanyia hivyo mwanamke ataumia.
Sijaona kama amemsema,kwani kuna mahali kamtaja jina,anasema tabia zilizomkera na wengine tujifunze.....usisite kutuambia prime,ili tujue nini kinawakera turekebishe mahusiano yadumu!
Hivi kuna madem bado wanaomba air time? nauliza tu
yanii dah!!hii tabia inakeraa sanaa...yani umetumaa vochaaa,unaishiwaa ku be piwaaaa tu,kesho tenaa vochaaa,na wewee tumaaa tu