Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,702
Ni jana ndoa ya bro wangu ilikufa kabisa.
Chanzo cha kifo cha ndoa hiyo ni baada ya bro kumfungulia mkewe biashara na kumkabidhi ili ajipatie mahitaji yake sio mpaka mumewe ampe.
Lakini cha ajabu mkewe ameendelea kutoa shida zake kwa bro, bro akimuuliza mwanamke anajibu hela za dukani ni zake mke na yeye kama mume anatakiwa amhudumie tu!
Swala hili lilizusha ugomvi ulopelekea ndoa kuvunjika au kufa . . .
Kesi za namna hii ni nyingi sana,mwanamke anahitaji haki sawa, sijui hizo haki sawa anazitafsiri namna gani. Unakuta mwanamke ni mwajiriwa au ni mjasiriamali, mshahara au hela ya biashara haionekani nyumbani, akitakiwa wagawane matumizi ya nyumbani anang'aka, anasema hayo ni majukumu ya mume! Kwanini?
Wengine inafikia mpaka gharama za vocha, saloon, nguo wanadai kwa mume wakati wana kipato, ukiwauliza wanasema mi mke wa mtu bana, biashara au kazi yangu ni yangu haihusiani na ndoa/mahusiano yangu!Sasa najiuliza hicho kipato ni cha nini?. . . . . .
Wanawake wengine wanasaka vidume wenye hela wakati wao wanajimudu sijui ili iweje!
Kuna mzee mmoja, mkewe ni mwajiriwa serikalini na yule mzee ni mfanyabiashara, imebidi kutumia ubabe, mkewe akipata mshahara lazima aulete nyumbani na utanunulia mahitaji ya nyumbani mpaka uishe wote siku hiyo! Namkubali sana huyu mzee.
Wakati mwingine ni bora wanawake wasiwe na kazi au kipato kwa usalama wa familia. Labda mnaweza kuniambia hizo hela mnatafuta za nini?
Chanzo cha kifo cha ndoa hiyo ni baada ya bro kumfungulia mkewe biashara na kumkabidhi ili ajipatie mahitaji yake sio mpaka mumewe ampe.
Lakini cha ajabu mkewe ameendelea kutoa shida zake kwa bro, bro akimuuliza mwanamke anajibu hela za dukani ni zake mke na yeye kama mume anatakiwa amhudumie tu!
Swala hili lilizusha ugomvi ulopelekea ndoa kuvunjika au kufa . . .
Kesi za namna hii ni nyingi sana,mwanamke anahitaji haki sawa, sijui hizo haki sawa anazitafsiri namna gani. Unakuta mwanamke ni mwajiriwa au ni mjasiriamali, mshahara au hela ya biashara haionekani nyumbani, akitakiwa wagawane matumizi ya nyumbani anang'aka, anasema hayo ni majukumu ya mume! Kwanini?
Wengine inafikia mpaka gharama za vocha, saloon, nguo wanadai kwa mume wakati wana kipato, ukiwauliza wanasema mi mke wa mtu bana, biashara au kazi yangu ni yangu haihusiani na ndoa/mahusiano yangu!Sasa najiuliza hicho kipato ni cha nini?. . . . . .
Wanawake wengine wanasaka vidume wenye hela wakati wao wanajimudu sijui ili iweje!
Kuna mzee mmoja, mkewe ni mwajiriwa serikalini na yule mzee ni mfanyabiashara, imebidi kutumia ubabe, mkewe akipata mshahara lazima aulete nyumbani na utanunulia mahitaji ya nyumbani mpaka uishe wote siku hiyo! Namkubali sana huyu mzee.
Wakati mwingine ni bora wanawake wasiwe na kazi au kipato kwa usalama wa familia. Labda mnaweza kuniambia hizo hela mnatafuta za nini?