mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
nimenotice wadada wawili watatu hapo juu wamesema wanawekaga bible kwenye pochi...i like that!! sijui ka mnaweka ili mue mnaisoma njiani au ni tu ile imani kua bible ina kuprotect ukiwa njiani??!!!