The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hahaha Wifi muhimukulikoni rafiki? kama watu wanatafuta wachumba hapa kwa nini mimi nisitafute wifi?
Hahaha Wifi muhimukulikoni rafiki? kama watu wanatafuta wachumba hapa kwa nini mimi nisitafute wifi?
Hahahhahaha jamani nataka mama mkwe aliyetulia kama mama yake FP....Naku PM Mpenzi wasije chakachua..... Mabinti wengi kweli single... Na Lizzy akiona hiii habari...... Nisiseme sana....
Sijui nani kakukwiba siku hiziHivi upo???
Si unajua tena nimeishaambiwa goods things are coming kwahiyo lazima nitabasamu hadi koo lionekaneTF hio Grin....
Pole sana mkuuDah kwa ukweli hii namba tatu imewahi kunipata, yaani i have a fear in my heart for mother in laws...any mother in law huwa namuogopa sana kwani yaliyonipata si madogo....but life goes on...no one dies for the other
Lizzy taratibu bana... FP nimetoka nae mbali bana.... wewe subiri rafiki wa hubby.....
HahahahaMimi sina wifi. Ila ushauri wangu na kwa nilivyoona kwa ndugu na rafiki zangu, keep as much distance as possible from your wifi!
Mimi ni wifi kwa mke wa kakangu, kakangu ajatulia fulani, basi wifi mwanzo alikuwa anatusimulia mambo ya kaka. SI tukaweka kikao kumsema kaka etu. We! Wifi si katuuzia kesi kuwa hajatutuma! From that day on, nimejifunza wifi ni mtu wa kukaa nae mbali na kama ni story basi za juu juu kama unaongea na jirani vile.
Sijui nani kakukwiba siku hizi
Dah kwa ukweli hii namba tatu imewahi kunipata, yaani i have a fear in my heart for mother in laws...any mother in law huwa namuogopa sana kwani yaliyonipata si madogo....but life goes on...no one dies for the other
Mimi sina wifi. Ila ushauri wangu na kwa nilivyoona kwa ndugu na rafiki zangu, keep as much distance as possible from your wifi!
Mimi ni wifi kwa mke wa kakangu, kakangu ajatulia fulani, basi wifi mwanzo alikuwa anatusimulia mambo ya kaka. SI tukaweka kikao kumsema kaka etu. We! Wifi si katuuzia kesi kuwa hajatutuma! From that day on, nimejifunza wifi ni mtu wa kukaa nae mbali na kama ni story basi za juu juu kama unaongea na jirani vile.
Kuhusu kumpenda, nadhani ni vizuri kupenda ndugu wote wa mumeo ila you can still love her without too much closeness. Mfano usimzoee mpaka aanze na kuingia room kwako. Lazima muheshimiane!
Ila hawezi kuwa na nafasi kubwa kama mama mkwe.
Uliniota una fight for itMhh Jumanne usiku nilikuotaa :biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Kule huna mama mkwe dear.... Full kujiachia.... wewe si nilikwambia kitu kimekamilika... hadi Ma'mkwe alikua in consideration..lol