FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
:ranger:arty:dugumoning !
huyu analia nini tena ?
Huyu most probably kuna kitu kimemuudhi sana huko nyumbani.Sasa ili kujiliwaza kaona akajirembe huko salon.Lakini katikati ya Urembo huo mawazo yanamjia anabubujikwa na machozi.Kwani kina dada/mama hili halijawahi kuwakuta?
Kuna siku niliona mama mmoja yuko Moevenpick na watoto wake wanakula lunch.Kajipamba sana ila alikuwa amevaa shades nikadhani ni urembo tu.Kumbe nyuma ya hiyo miwani mikubwa alikuwa kaiva macho kwa kulia.
Akina baba/kaka mnatupelekaga pabaya sana mjue!
Oneni sasa! Huo mchozi siyo wa maumivu ya kurembwa wala siyo wa kulazimishwa kunyoa nywele maana hapo naona process ya Touch-up kwenye highlights ikiendelea na touch up hiyo kwenye salon za uhakika si chini ya 40,000/=
Labda kalazimishwa kufanya yale mambo!!au anadeka!!huyu analia nini tena ?
anajiuliza jinsi gani ataweza ku manage hizo request za mahusiano baada ya urembo kukaa sawasawahuyu analia nini tena ?
Si urembo ndo sababu ya kulia...ni kwa sababu kapima afya majibu si mazuri.....Ebu angalia na nywele zilivyokatika.
Huyu most probably kuna kitu kimemuudhi sana huko nyumbani.Sasa ili kujiliwaza kaona akajirembe huko salon.Lakini katikati ya Urembo huo mawazo yanamjia anabubujikwa na machozi.Kwani kina dada/mama hili halijawahi kuwakuta?
Kuna siku niliona mama mmoja yuko Moevenpick na watoto wake wanakula lunch.Kajipamba sana ila alikuwa amevaa shades nikadhani ni urembo tu.Kumbe nyuma ya hiyo miwani mikubwa alikuwa kaiva macho kwa kulia.
Akina baba/kaka mnatupelekaga pabaya sana mjue!
Oneni sasa! Huo mchozi siyo wa maumivu ya kurembwa wala siyo wa kulazimishwa kunyoa nywele maana hapo naona process ya Touch-up kwenye highlights ikiendelea na touch up hiyo kwenye salon za uhakika si chini ya 40,000/=