FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
- Thread starter
- #21
Preta baada ya hili sakata kuwa wazi ..huyu jamaa hajaonekana mpaka leo ..na mbaya zaidi huyu mama hakumfatilia hata kujua anakaa wapisasa na yule kaka aliyejitambulisha na akasema atamuoa huyo binti wa kazi, ameishia wapi?
Ingawa jamaa alikuwa anajitahidi kuja hapo nyumbani kabebelea ,nguo pesa na matumizi mengine ya mama na mtoto.