mkuu Invisible
ni mambo ya kimagharibi zaidi, hapa mkishapigana chini kila mtu huwa anashika hamsini zake, labda kwa wenye ndoa na ambao huwa tayari wana watoto!
...halafu haipendezi, haichekeshi wala kufurahisha EX-wako anapofanya juhudi za lazima upate habari zake za maisha hata kwa kupitia 'a 3rd party!' (through marafiki/ndugu zako)...Get a Life lady!, life has to go on!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.