mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
- Thread starter
- #141
Ile ni lugha ya ki sports halafu game kashinda sema away goal ndo imemuondoaIla limewekwa kwa mujibu wa sheria...tukubali tu kwamba haitoshi kuwa mwalimu mzuri tu bali na uwezo binafsi wa wachezaji unachangia...Masikini Gurdiola na kujiapiza kote akitolewa wamuue, wajerumani wakiamua kumfanya hakuna kuna kesi kweli?