kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,059
- 4,866
Wenger is not leavingNdugu huyu Wenger anatutesa sana washabiki, msimu ujao akiwepo itabidi nijiweke kando Na ligi ya EPL.
Wenger is not leavingNdugu huyu Wenger anatutesa sana washabiki, msimu ujao akiwepo itabidi nijiweke kando Na ligi ya EPL.
Nimeanza shabikia mpira kitambo sana, toka enzi za kina Ian Wringt, in short, nimemuona Guardiola na Simeone wakisukuma gozi uwanjani.TANGU LINI UEFA IKAWA NA MSHINDI WA TATU daaaah kumbe kelele nyingi ila mpira umeanza shabikia 2015 mwishoni
kwa msaaada wa Google unaweza sema hata ulikuwepo kipindi cha Maradona Google raha saaanaNimeanza shabikia mpira kitambo sana, toka enzi za kina Ian Wringt, in short, nimemuona Guardiola na Simeone wakisukuma gozi uwanjani.
Na pia mpira wa ndondo nacheza mpaka sasa kama burudani, hivyo mpira naujua vizuri.
Hapo ktk comment yangu nilitegemea ungeona SARCASM niliyokusudia.
Nwakati simba inacheza na Stella Abidjan fainali, nilikuwa nimeanza ushabiki wa mpira wa bongo tayari.kwa msaaada wa Google unaweza sema hata ulikuwepo kipindi cha Maradona Google raha saaana
mimi nipo Mnyama ila nina alej na Mpira wa kibongoNwakati simba inacheza na Stella Abidjan fainali, nilikuwa nimeanza ushabiki wa mpira wa bongo tayari.
Unamjua Kanka Wemba wewe wa Atletico Sports Aviacao??
Mpira wa bongo figisu figisu, ndo maana watu tumekimbilia ilaya ambako mpira unachezwa sio siasa!mimi nipo Mnyama ila nina alej na Mpira wa kibongo
Nwakati simba inacheza na Stella Abidjan fainali, nilikuwa nimeanza ushabiki wa mpira wa bongo tayari.
Unamjua Kanka Wemba wewe wa Atletico Sports Aviacao??
Hiyo ligi hainihusu tenaWenger is not leaving
Teh teh,nna kimbelembele cha kumsaidia kukujibu,KABANDUKA MJERUMANI.
Kibangaa ampiga mkolonii..At hana uwezo wa kumtoa bayen
yeah nasikia ameapa hivyo ,Gudiola me namuamini anachokizungumza 100%