Red pepper
Member
- Apr 20, 2010
- 29
- 3
Gaucho ni bishoo sana, Dunga kafanya cha maana sana. Tuache upenzi tu wa mtu. Mimi nina uhakika Brazil watafanya vizuri!! Ni Maoni tu!
Huyo Dinho mechi ya juzi na wachovu DC alikuwa amejichokea tuu.
2006 huyo Gaucho si alikuwemo kwenye timu na waliishia robo fainali, awapishe wengine bana.