Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Nakumbuka maraisi waliomtangulia Jakaya Kikwete waliacha wosia au ndio tuiite ni laana! Mwalimu alicha wosia mwingi sana kwa taifa hili hata kwenye Tape zinazouzwa mitaani ni tosha kabisa kuamini alichokua anakiongea na vinaonekana sasa hivi, sikumbuki raisi mwinyi aliacha wosia gani kama kuna mtu anakumbuka aliacha wosia gani kwa taifa hili baada ya kumaliza muda wake wa kuongoza taifa hili atatueleza. Lakini mimi kuhusiana na heading yangu hapo juu nakumbuka baada ya miongo miwili ya utawala wa muheshimiwa Mkapa aliwacha wosia kwakusema hivi "MTANIKUMBUKA" mwisho wa kumnukuu! Wanajanvi natafakari sana kwakina huu usemi kama ukijaribu kutafakari alipotuacha na hapa tulipo, Je wanajanvi usemi huu ndio tunachokiona sasa hivi ?? Jamani naomba kuwasilisha.