Gurta
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 2,234
- 531
HAta mseme nini hatuachi kuvaa mawig, kusuka extension na bla bla zingine.. mambo ya kipilipili sijui natural hair inahuu...
Unaona sasa?
HAta mseme nini hatuachi kuvaa mawig, kusuka extension na bla bla zingine.. mambo ya kipilipili sijui natural hair inahuu...
Tangia umejiunga JF leo ndo umeongea la maana. mia!jamani nimeshasema na dem wangu anajua.nasema kwa mala ya mwisho.sitaki kuona mawigi.kwanza mvua ikinyesha kidogo tu yananuka.wakati wa mvua unakuta wamevaa ile mifuko inayoitwa shangazi ili mawigi yasilowane.mimi nikiyaona hata jogoo hawiki.yananukaaa...!!mawigi si ishu.eti waitu nina nywele kama za muzungu"....alaaa....!!pumbavu.
yap.. habari ndio hiyo!Unaona sasa?
hata nywele bila wig zikinyeshewa mvua hunuka. Pole yake dem wako. miajamani nimeshasema na dem wangu anajua.nasema kwa mala ya mwisho.sitaki kuona mawigi.kwanza mvua ikinyesha kidogo tu yananuka.wakati wa mvua unakuta wamevaa ile mifuko inayoitwa shangazi ili mawigi yasilowane.mimi nikiyaona hata jogoo hawiki.yananukaaa...!!mawigi si ishu.eti waitu nina nywele kama za muzungu"....alaaa....!!pumbavu.
Jamani mimi mwanamke siyo mrembo kwa kweli. Mzuka na weaving, wigi siko. Kisa hiki ni cha kweli natoa hapa si kwamba nadharau wale wavaaji ila muwe makini .
Juzi nikiwa kwenye dala dala natoka kariakoo, akaingia dada mmoja mtanashati kavaa mlegezo ili kale ka CUPI kenye kamba kaonekane. Ile anaibuka kwenye dala dala mlangoni kulikuwa na chuma kikamata wigi likachomoka kichwani likabaki kwenye chuma. Huko ndani ya kichwa chake ilikuwa hatari, manywele mabaya, yamevurugika nahisi alitoka kufumua rasta akaweka ili kuficha uchafu wake AKAUMBUKA. Dada wenzangu shaurini hapo. Kwa wanaume naomba wapigeni marufuku wake zenu kuvaa mawigi, tena wekeni msistizo.
Wanawake wengine wakivaa hawapendezi lakini wamo tu. Siku hizi kuna consultants wa urembo nenda katoe hela yako wakushauri nini ufanye na mwili wako, uso au hata kwenye hizo nywele unazotaka wakwambie kama utapendeza au la.
Samahani wanawake wenzangu, ni mtizamo tu ila mawigi siyo INSHU.
...nasubiria mjadala wa wasiopenda make ups! Mtu unamwambia saa mbili kasorobo tunatoka, yeye kang'ang'ana kwenye kioo anajipaka makorokoro ya marangi rangi usoni,...sijui mask, shadow, aaarrgghhh!
By the time anakwambia tayari, ishafika tatu kasorobo usiku!
Mkirudi outing shughuli inaanza upya kuyaondoa tena...nusu saa nzima!...mnh, wanawake!
Jumapili Njema.
Naanza mimi ni wa kwanza. Mawigi yanani-put off sana. Kama na wewe hupendi mke/gf wako avae wigi tafadhali niunge mkono. Natanguliza samahani kwa akina dada mnaovaa mawigi. Msinishambulie mtoto wa mwenzenu. Sijazoea kelele.
Kuna mweshimiwa mmoja (nadhani ni waziri) alienda kuapishwa kasuka utii wa roda (aka twende kilioni) , wacha watu wamnange. Tena walomnanga ni wanaume wakati mama ni natural. Acheni kuwa double standard. Mwanamke nywele!
Uzuri wa mwanamke mgongo/kiuno bana hayo ya tabia na nywele mbele kwa mbele lol!Wewe mama mzima unawapotosha vijana,aliekuambia mwanamke nywele nani?Mwanamke tabia!