La David Mattaka: Kwenye Hili simwelewi Kikwete!

Wakuu look at the whole issue from a different perspective.

Katika uchaguzi wa 2005 mchakato ulikuwa mkali na wa kukata na shoka .Alliances were made and many political associations were made.Na huo ndo ukawa mwanzo wa "mtandao". Mtandao ulikuwa very powerful and sucked in many people good and bad.Wengi walifanya mahesabu yao vizuri na wakajipanga mkao wa kula baada ya mchakato mgumu wa uchaguzi.

Mtandao ukashinda, na hata JK alisikika akisema, sasa tuuvunje mtandao maana kazi yake imemalizika.

Lakini mtandao huo ulikuwa umewabea wezi,wahuni watu wazuri kabisa pamoja na watu waaminifu.

This is a democratic country,kama chama kilijua upo mtandao na ukaukubali bila maneno, kazi kubwa zaidi ni kuuvunja baada ya uchguzui maana tayari una nguvu kubwa.

Kumlaumu JK peke yake katika huo mtandao ni kumwonea maana hata yeye room yake ya kumaneuvre ni funyu.Mtandao ndo waliomweka pale.

Nikiendelea kuwa mchokozi ,sidhani kama Lowassa,Karamagi,Rostam ambao ni vinara vya mtandao watataka any opposition to their positions lying down.Hii ni democrasia bwana lazima JK acheze chess vizuri naye asije liwa kingi!
 
Kwani Mataka hajawahi kuwa kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii? Alifanya nini huko?

Waulize waliofanya kazi na Mattaka PPF watakuambia. Kumbuka Mattaka ndiye Meneja Mkuu mwanzilishi wa PPF mwaka 1992. Jamaa anaweza kuwa na kasoro zake na kaufisadi kidogo lakini am telling you kazi aliyoifanya PPF inaonekana. Kwa ATCL pamemshinda kama angekuwa muungwana nafikiri angeomba kukaa pembeni lakini ndiyo hivyo tena njaa.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
 
Wakulu heshima mbele, nilikuwa nazungumza na watu waliofanya kazi na David Mattaka enzi hizo PPF ikiwa bado ni kitengo ndani ya shirika la bima na ambao wamemuelezea David Mattaka kama ni msomi na mjuvi sana katika mambo ya bima na hifadhi ya jamii ambaye alisomeshwa nchini marekani kwa miaka 4 na serikali yetu.Wanasema David Mattaka kwenye mambo ya Bima ni mahala pake na wangefurahi kama angekuwa Mkurugenzi wao mkuu badala ya huko walikomuweka ambako ni kama misallocation of resources na kushindwa kuitumia taaluma yake ipasavyo.

Kwa kitendo cha Muungwana kumuweka katika kamati hiyo inaashiria kitu kimoja tu kwamba huenda ndiye atakayepewa mikoba ya kulifufua shirika la bima la Taifa.Mark my words hivyo ndivyo itakavyokuwa mara tu baada ya kukamilisha kazi waliyopewa.

...you are right Kinyamana........sasa sijui watu huwa wanasubiri waliowafundisha kazi wafe ndio waanze UFISADI.....maana hii trend tumeishuhudia kwa Mkapa na timu yake pia......
 
...you are right Kinyamana........sasa sijui watu huwa wanasubiri waliowafundisha kazi wafe ndio waanze UFISADI.....maana hii trend tumeishuhudia kwa Mkapa na timu yake pia......

Mhhhh... now I get some picture, nadhani kuna kizazi kinatusumbua
 
Kwani, Kikwete alipomteua Lowassa kuwa Waziri wake Mkuu hakumjua? Alipomchagua mara mbili Chenge kuwa Waziri wa Miundo Mbinu mnafikiri hakumjua? Alipompa nafasi Rashid Othman kuwa TISS boss hakumjua? c'mmon we know more about Kikwete than most leaders we have had. So, ni mwendelezo ule ule wa kuvumilia uzembe na kuzawadia kutokuwajibika!
 
Mh. Dr W.Slaa,

.....nakuomba unielimishe kidogo......maana na wewe ulikuwepo CCM enzi hizo.......hivi inakuwaje........huu uozo unaoendelea........mtu anaharibu sehemu moja anapelekewa sehemu nyingine..........!!
 
Mh. Dr W.Slaa,

.....nakuomba unielimishe kidogo......maana na wewe ulikuwepo CCM enzi hizo.......hivi inakuwaje........huu uozo unaoendelea........mtu anaharibu sehemu moja anapelekewa sehemu nyingine..........!!
Ogah,
i)Nimestushwa sana na uteuzi huu. Sina nia ya kujibu hoja yako, lakini awamu ya kwanza inapo "recycle" kama ninaweza kutumia neno hilo inaeleweka kwa vile wataalamu walikuwa wachache. Leo wataalamu lukuki, hakuna maelezo yeyote, kwa mantiki yeyote ile.
ii) Ebu watanzania tujikumbushe, Mataka alitoka PPF kwa rekodi ipi? Kumbukumbu zangu zinaniambia hakutoka kwa "honours". Iwapo hiyo ni kweli ni kweli tulishindwa kupata credible, trustworthy people. Katika huduma ya Umma, si lazima uwe mchafu, hata kule kudhaniwa tu kama ni mchafu, is a major issue, na ilipaswa kupelekea serious vetting kabla ya mtu kupewa mikoba ya Taasisi kubwa ya kitaifa. Au hata hao wanao vet nao wameingiwa na mdudu? I am tantalized!
iii) Wana JF Bungeni bado tunasubiri tupate majibu ya Serikali, hivi imekuwaje US $ Millioni moja zikatumika kulipia fidia ya gharama za mahujaji baada ya kuwekwa Airport na Mataka na uongozi wake. Fedha hizo zilitolewa kutoka TICRA, yaani mamlaka ya Mawasiliano ambayo inashughulikia na mawasiliano na siyo MiundoMbinu yenye dhamana na Usafirishaji wa Anga ( ATCL for that matter). Hatujapata majibu, leo tunakuja na uteuzi huu? JK is not serious this going beyond point of toleration.
iii) Mipango ya kufufua ATCL hadi leo haijaeleweka. Yaani aliyeshindwa kwake, aje atufufulie NIC yetu. By the way, NIC ina liabilities nyingi, na tukicheza Watanzania wengi, mathalan wenye Life Insurance (Bima ya Maisha) na hasa waalimu ambao waliichangamkia sana aina hiyo ya Bima wataenda na maji! JK inamwathiri nini hata Watanzania wakiathirika. This is the only plausible explanation.
 
Viongozi wazembe kama JK na Mattaka wanahitaji VIBOKO toka kwa EX-DC MNALI. Huwezi kuendesha nchi kijanja janja namna hii. NAONA MBOKO NDIYO SAIZI YAO. Mh. MNALI uko wapi??????????
 
Waulize waliofanya kazi na Mattaka PPF watakuambia. Kumbuka Mattaka ndiye Meneja Mkuu mwanzilishi wa PPF mwaka 1992. Jamaa anaweza kuwa na kasoro zake na kaufisadi kidogo lakini am telling you kazi aliyoifanya PPF inaonekana. Kwa ATCL pamemshinda kama angekuwa muungwana nafikiri angeomba kukaa pembeni lakini ndiyo hivyo tena njaa.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya PPF na ATCL. PPF siyo shirika la biashara bali taasisi ya hifadhi ya jamii ya mashirika ya umma, na kazi yake kubwa ni kukusanya pesa kutoka kwa wanachama na kuwekeza; na kutoa mafao ya kustaafu na stahili nyingine kwa wanachama wake kwa mujibu wa sheria ya PPF. Sasa hapa utaona kuwa, kufanikiwa PPF yawezekana ilikuwa kazi rahisi kwa kuwa kule hakukuwa na biashara. Kwa upande wa ATCL, hili ni shirika linalotakiwa kufanya biashara na kupata faida, kitu ambacho nina amini Mataka hana huo uzoefu wa kuongoza mashirika ya kibiashara kama ATCL, na isitoshe ATCL inahitaji mtu ambaye yuko "oriented" kwenye kuendesha biashara ya mashirika ya ndege kwenye ushindani wa utandawazi. Ni wazi kwamba huko Mataka ameshindwa na ni bora ajiondoe. Lakini, kama kawaida, ni nani aliye tayari kukubali kwamba ameshindwa? badala yake ni kutoa sababu kila kukicha, sababu zisizokuwa na mashiko.
 
mhhh kwa kweli wenye macho tunabaki kutazama,,hakika niliishia kuhamaki na kujiuliza gazeti limekosea ama mnenaji wa kipindi cha magazeti mpaka niliposoma kwenye gazeti kwa macho yangu nikasema looooh!!!!kikwete

Kwa jinsi mattaka alivyoifanya ile kampuni ya ATCL akuna ambae angefikiria angepewa hata mjumbe wa bodi ya ""UDA"",,,la hasha labada nimpe pole yule aliekuwa akimsifia ni kweli inawezekana aliweza kuwagawia salio na mabaki baki ya PPF...lakini kule ATCL alishindwa kabisa,kwanza alipoingia nakumbuka nilisoma alishindwa hata kutengeneza bussinessplan ya ATCL mpaka leo hiii anakaribia kutolewa na wachina,..

---Amekuwa akikumbatia manejiment ilioamua kumuaibisha mpaka kufikia waziri kutengeneza taskforce..,

--ameweza kufanikiwa kuendesha shirika kwa kuwakata wafanyakazi makato yao ya PPF ,WANAAIR,NA SACCOS NYINGINE na kuzitumia kwa manufaa yao binafsi bila wafanyakazi kujua...mfano mzuri nilipewa datta kuhusu hicho chama chao wanaair kinaidai kampuni million 470 mpaka mwezi wa januari,
PPF awajapelekewa makato yao toka may 2008....
hao wengine wanadai zaidi ya million 112..........
je mtu huyu ataishauri nini N.I.C zaidi ya kusema muuze nayeye awe kama kajimasha kutafuta wawekezaji apate chake mkononi......

Looooooh.................KIKWETE!!!!hivi wakati ukisoma shulen ewe rais wangu aukujua kuna kitu uongozi bora aufungamani na ndugu wala marafiki.
polensana watu wa ATCL.na watanzania kwa ujumla.....

Hivi ndege zao zile mbili zilizolala pale uwanjani zinalipiwa kodi????
na kama ndio inakuwaje wanakodisha ndege wasizo na uwezo wao??
Safari za southafrica wanaanza lini???
naomba mattaka kama ni mshiriki utusaidie tukusaiidie kupata wateja kama umedhamiria kulikuza shirika hili
 
Heshima mbele wakuu, nadhani kwa hili mkuu wa kaya kwa kweli amekosea!! Kuna mtu ana shida na hali ya nyumbani kwake, badala ya kumpa muda ili aweze safisha nyumba yake tunampa kazi ya kusafisha na kwa jirani yake.... Inawezekana huyu mkuu anauwezo wa kusaidia shirika letu la bima, swali ni kwamba with ATCL in ICU atakuwa na muda wa kutimiza shughuli/majukumu kwenye tume yetu (Tume, tume, tume, tume!?!?!!??@#$%) ya NIC. Cha pili ambacho pia wengi wamekiongelea, je Mkulu hajui kuwa kuna waTz wengi ndani na nje ya nchi wenye uwezo wa kfanya majamboz kama hayo?? Kwa nini kama Mhe Slaa alivyosema hapo juu "we keep on recycling"?? hata chuma utaki recycle but after some cycles kinakuwa si chuma tena!!!!
 
Ogah,
iii) Wana JF Bungeni bado tunasubiri tupate majibu ya Serikali, hivi imekuwaje US $ Millioni moja zikatumika kulipia fidia ya gharama za mahujaji baada ya kuwekwa Airport na Mataka na uongozi wake. Fedha hizo zilitolewa kutoka TICRA, yaani mamlaka ya Mawasiliano ambayo inashughulikia na mawasiliano na siyo MiundoMbinu yenye dhamana na Usafirishaji wa Anga ( ATCL for that matter). Hatujapata majibu, leo tunakuja na uteuzi huu? JK is not serious this going beyond point of toleration.

Mh. Dr. Slaa, kumbe hao walipozwa kwa fedha za'serikali' wakati uzembe ni wa huyo huyo Matakka na wenzake! Hii nchi inaelekea wapi jamani, hatujamaliza hili linakuja hili!

haya leo Liyumba katoroka, tunamsikia 'daktari' aliyeshindw akumtibu mgonjwa ATCL naye anapewa 'mgonjwa' mwingine ..sasa si kuwaua wote wawili?

Hivi what is exactly wrong with us?
 
Ngereja,
Kumbuka Mattaka ndiye Meneja Mkuu mwanzilishi wa PPF mwaka 1992.
Mkuu samahani mbona mimi nakumbuka PPF ipo toka miaka ya 80 kama sio 70s!.... naomba somo mkuu wangu..
 
Kikwete is weak, incapable and sick president. I didn't vote him and will NEVER vote him.
 
Kikwete is weak, incapable and sick president. I didn't vote him and will NEVER vote him.

You poor man! ( I am assuming that you are a man)
Thats how democracy works, you just happened to have voted for a losing horse, JK is YOUR President!
 
JK is YOUR President!
president of DARUSO or CHAMUDATA!!??
 
Kikwete amesoma Kibaha,one year ahead of Mataka. Kwa hiyo ni school mates.You can call it cronyism,Kiongozi anamchagua mtu ambaye ni loyal kwake,mtu ambaye anamfahamu.

Indeed, Mataka ni school mate wangu pia Kibaha. Tulikuwa tunacheza sana ping pong.

Jakaya Kikwete angeweza kuwa Rais badala ya Mkapa. It was just this cronyism that every one was worried about,ndio maana Kiwete ikabidi asubiri mpaka 2005.

Sasa watu wanauliza,are we all in serious trouble. Should we be afraid? Itawezekana kuwathibiti mafisadi? Between you and me and the door post,nadhani itakuwa vigumu sana kuwathibiti mafisadi. There was plenty of time kuwakamata wote.

Wanataka kutoa token punishment,but that is not enough. KABLA ya uchaguzi,mafisadi wote must be accounted for,CCM iende kwenye Uchaguzi na kusema," Mafisadi wote ,waliokuwa wanatajwatajwa, ni accounted for.''That is the way these things are done around the world.


Very strong observation!
 
Kwa hiyo,ingawa credentials za Kikwete ni impeccable,Kikwete ni honest,wise,dedicated.

Wow, then I am Mother Thereza !!

Nashindwa kumwelewa Kikwete anataka kulipeleka wapi shirika la NIC ,
Huko huko anakopeleka Jamhuri ya Muungano wa Tazania.

Kumlaumu JK peke yake katika huo mtandao ni kumwonea maana hata yeye room yake ya kumaneuvre ni funyu.Mtandao ndo waliomweka pale.
Naona asilimia 80% ya Watanzania ni wana mtandao, duh !!

Mwacheni Kikwete wa watu apumzike
Keshapumzika miaka mitatu - kwani anaumwa ugonjwa gani ?:rolleyes:

Viongozi wazembe kama JK na Mattaka wanahitaji VIBOKO toka kwa EX-DC MNALI. Huwezi kuendesha nchi kijanja janja namna hii. NAONA MBOKO NDIYO SAIZI YAO. Mh. MNALI uko wapi??????????
Seconded lakini...........viboko ? mbona taifa zima litakula mboko.

Kikwete is weak, incapable and sick president. I didn't vote him and will NEVER vote him.
I concur but they did and may do so again - unless........labda mboko zitembee.

You poor man! ( I am assuming that you are a man)
Thats how democracy works, you just happened to have voted for a losing horse, JK is YOUR President!

You poor woman ! ( I am assuming you are a woman)
Democracy was raped and a President was born named JK. My son ? NO.

Naenda kulala - kichwa kinazunguka.
 
Back
Top Bottom