Kyai kya moto!

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,880
13,165
imagejpeg


Wakuu niko kijijini, karibuni kyai kya moto!
 
Mura kwanini usiseme sai sa muhiu kama ndugu zako wakikuyu? Au ndugu zako wameru wanaosema Mbasi badala ya basi au mvaite badala ya vaite? Mwe! Kweli mmenichekesha sana hata kama ni bangi zenu au utani wenu. Omera olukamano. Mushaija oshomile hadi chai unaita kyai kama waingereza wanavyoita tea badala ya tree. Au tuseme wafaransa wanaoita the badala ya kyai au wakikuyu wanaita sai.
 
Mura kwanini usiseme sai sa muhiu kama ndugu zako wakikuyu? Au ndugu zako wameru wanaosema Mbasi badala ya basi au mvaite badala ya vaite? Mwe! Kweli mmenichekesha sana hata kama ni bangi zenu au utani wenu. Omera olukamano. Mushaija oshomile hadi chai unaita kyai kama waingereza wanavyoita tea badala ya tree. Au tuseme wafaransa wanaoita the badala ya kyai au wakikuyu wanaita sai.
Omurangira wakora waitu!
 
Back
Top Bottom