kabalizuka
Member
- Nov 11, 2011
- 99
- 24
lakini jamani mimi sioni kosa la huyu jamaa yetu,labda kulikuwa na kitu anatafuta ndo kakumbana na hayo masahibu,kilichobaki ni yeye kupiga moyo konde amuulize huwa anatumia kwa matumizi gani?maana ukikaa kimya itakutesa maisha yako yote,kwani utakuwa unamuwazia hata mabaya ambayo hafanyi na mwirhowe utaamua kumlipizia,mwisho inakuwa hasira hasara.