jitu la kale
Member
- Dec 29, 2010
- 77
- 18
Nipo hapa stand ya mabasi ngudu-kwimba,kuna mkutano wa chadema,unaöngozwa na Wenje,letisia nyerere,na mtoto wa mashishanga yule mkuu wa mkoa wa zaman wa mwanza,watu wanaipenda chadema hadi noma
Yule wa kike mnene hivi,watu wa mwanza wamemkubali ile mbaya
Jamani picha mbona zinagoma kuja,nahisi nakosea kutuma pole jaman
wamefungua matawi hapa kwimba,sema hapa letisia nyerere alijitolea nyumba pamoja na hati yake kwa chama so ndo ofisi na ni kubwa sn ujueVipi kuna shughuli zozote za kijasiriamali zafanyika ama CHADEMA imesitisha shughuli zote za uchumi kwa masaa haya ya mchana hapo KWIMBA?
PIOOOPOS POWER,
Nafurahi mwamko ukitokea Kwimba na kwetu Misungwi wataelewa. Anyway................ by 2015 kitaeleweka tu!!!!!!!!!!!!!!