Habari zenu wapendwa... naombeni msaada wa dawa ya kwikwi kwa mtoto mchanga wa wiki tatu.wiki ya pili sasa anateseka na kwikwi yaan ni kila siku mpaka analegea mwili. naombeni mnisaidie ameenda hospital lakini tatizo bado linaendelea.. hata dawa ya asili pia naomben mnielekeze jamani. AHSANTENI