Kwikwi kwa mtoto mchanga: Chanzo na Tiba

Mpe matone ya maji, dumbukiza kidole chako kisafi kwenye maji masafi alafu mdondoshee mdomoni.Akiwa mkubwa mkubwa unaweza chota maji kidogo kidogo kw kijiko cha chai na kumpatia.
 
Nimtoto umri siku 14 ananyonya sana na kila amalizapo kunyonya huandamwa na kwikwi kiasi cha kitia huruma

Msaada wa dau na wataalamu.
 
Hiyo ni kawaida sana. Kumbuka mtoto awapo tumboni hapumui kwa kutumia pua, na mapafu yake yanaanza kutumika kuingiza hewa ya Oxygen baada ya kuzaliwa. Hizo kwikwi ni mapafu yanaanza kuzoea kuingiza hewa na kutanuka. Hali hiyo isikuogopeshe, itatulia baada ya wiki chache. Ukiwa na mashaka zaidi uliza ushauri kwenye clinic ya watoto ama hospitali alipozaliwa. Sote tulijifunza taratibu. Hongereni!
 
Pole sana,ni suala common kwa watoto wachanga hasa wa kwanza(usiniulize takwimu)
Inasemekana sababu kubwa ni kunyonya 'hewa'
Hii huchangiwa na position ya mtoto wakati wa kunyonya kuacha nafasi ya kuingiza 'hewa' kinywani.
Pia wengine wanasema overfeeding inaweza kupelekea hali hii.

Cha kufanya...
Muone daktari/mkunga aliyebobea kwenye maswala ya watoto wachanga/unyonyeshaji anaweza kukusaidia.
 
Mtoto akinyonya lazima acheua huwa anavimbiwa uwe unamweka begani na kumpiga piga kidogo ili acheue.
 
Hiyo ni kawaida sana. Kumbuka mtoto awapo tumboni hapumui kwa kutumia pua, na mapafu yake yanaanza kutumika kuingiza hewa ya Oxygen baada ya kuzaliwa. Hizo kwikwi ni mapafu yanaanza kuzoea kuingiza hewa na kutanuka. Hali hiyo isikuogopeshe, itatulia baada ya wiki chache. Ukiwa na mashaka zaidi uliza ushauri kwenye clinic ya watoto ama hospitali alipozaliwa. Sote tulijifunza taratibu. Hongereni!

Sent from my RM-914_eu_finland_217 using Tapatalk


Asante sana mkuu kwa kunitoa wasiwasi,dash!sijutii kujiunga JF kabla ya kuoa
 
Pole sana,ni suala common kwa watoto wachanga hasa wa kwanza(usiniulize takwimu)
Inasemekana sababu kubwa ni kunyonya 'hewa'
Hii huchangiwa na position ya mtoto wakati wa kunyonya kuacha nafasi ya kuingiza 'hewa' kinywani.
Pia wengine wanasema overfeeding inaweza kupelekea hali hii.

Cha kufanya...
Muone daktari/mkunga aliyebobea kwenye maswala ya watoto wachanga/unyonyeshaji anaweza kukusaidia.

Ubarikiwe sana mkuu sasa na relax,JF idumu
 
Hiyo ni kawaida sana. Kumbuka mtoto awapo tumboni hapumui kwa kutumia pua, na mapafu yake yanaanza kutumika kuingiza hewa ya Oxygen baada ya kuzaliwa. Hizo kwikwi ni mapafu yanaanza kuzoea kuingiza hewa na kutanuka. Hali hiyo isikuogopeshe, itatulia baada ya wiki chache. Ukiwa na mashaka zaidi uliza ushauri kwenye clinic ya watoto ama hospitali alipozaliwa. Sote tulijifunza taratibu. Hongereni!

Sent from my RM-914_eu_finland_217 using Tapatalk


Kiwi kitendo cha kunipa hongera tu kimenitoa wasiwasi,kwani umeonyesha wazi kuwa umetambua ndo mtoto wa kwanza,maelezo yako yako dhahiri kuwa ni Dr anaongea na mgonjwa wake.
 
Habari zenu wanajf! Nmejifungua salama nashukuru Mungu!leo ana siku ya 17. Tatizo mtoto wangu anashikwa na kwikwi kali mpaka km mara mbili au tatu kwa siku! Inakaa km dk moja then inapotea! Je tatizo ni nn? Nisaidieni
 
Mash Allah, hongera sana korino, Mungu akuwekee mtoto wako
 
Last edited by a moderator:
First borne bila shaka!
Hiyo mara nyingi ni normal,baada ya muda itakwisha.
 
Back
Top Bottom