BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
muwa aina hii unapatikana wapi jamani? mie kwikwi ni tatizo langu la muda mrefu...
huwa inakutokea hasa ukikaribia kufanya nini? namaanisha ukikaribia kula, wakati unakula au muda wowote tu?muwa aina hii unapatikana wapi jamani? mie kwikwi ni tatizo langu la muda mrefu...
huwa inakutokea hasa ukikaribia kufanya nini? namaanisha ukikaribia kula, wakati unakula au muda wowote tu?
Mkuu, vyakula karibu vyote haviwezi kumeng'enywa mwilini bila maji, unapokaribia kula chakula kigumu mfano viazi au mkate hivi, mwili hutambuwa kuna kumeng'enya chakula hicho kutahitaji maji mengi zaidi na unajuwa sisi hatunywi maji mpaka tusikie kiu. Dawa yake ni kuchukuwa tu glasi ya maji ya kawaida (siyo ya kwenye friji) na kunywa, mhimu kumbuka kila nusu saa kabla ya kula chakula unakunywa maji glasi 2 (ml 500). Ni hivyo tu. Mwili unakuwa unakuambia kuwa ili chakula hicho unachoenda kula kitumike vizuri na mwili, unahitaji kutanguliza maji. Basi.wakati wa kula, hasa vyakula vikavu, kwa hiyo siku zote naepuka vyakula vikavu vikavu, hata wali lazima uwe na mchuzi wa kutosha ndo nile....
Imekwisha umetumia Dawa gani mpaka umepona? daniel donNapata kwikwi Baada ya kula chakula, lakini sasa imekwisha kabisa nashukuru wadau kwa ushauri wenu!
Nimetumia dawa ya mua mweusi na asali mbichi, niliyoshauriwa na Mzizimkavu kwa kweli ni dawa maridadiImekwisha umetumia Dawa gani mpaka umepona? daniel don
Mkuu daniel don Asante kwa kutoa Feedback ninakutakia afya njema na uzima na kila kheri inshallah.Ni Watu wachache sana kama wewe wanaotoa Feedback nimefurahi kwa feedback yako asante.Ubarikiwe mbinguni.Nimetumia dawa ya mua mweusi na asali mbichi, niliyoshauriwa na Mzizimkavu kwa kweli ni dawa maridadi
Jamani tumtumie Doctor huyu kwa ushauri na mapendekezo ya dawa anayotoa..Asante Dr. I real appreciate!!!
:israel:
Najua namna ya kutibu kwikwi bila kuhitaji maji wala dawa yoyote. Just PM me.
Napata kwikwi Baada ya kula chakula, lakini sasa imekwisha kabisa nashukuru wadau kwa ushauri wenu!