Hivi kama kupitia mlima Kilimanjaro tu ambao hauhamishiki tunaibiwa hadi wengi wanajua kuwa uko Kenya. Angalia Tanzanite, hadi jina linajieleza lakin tunaibiwa! Tutegemee nini kwenye madini yachimbwayo na wanyama wanaotembea? Pole Tanzania!
Shauri ya ubwege wenu ; wasomi mnao wengi lakini hamuwatumii kwa kuendekeza udini na siasa zenu za maji ya choo! Kila siku mtabakia kichwa cha mwendawazimu.!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.