Barraza
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 481
- 270
Huu wimbo ni mzuri sana kuusikiliza, kuna mtu aliniambia kuwa asilimia kubwa ya waimbaji wa huu wimbo walifariki kwenye ajali, eti ni kweli?
"Nyumbani kwetu hakuna Masaburi, wala hakuna maleria wala hakuna vyandarua"
Nawatakia week end njema ndugu zangu.
"Nyumbani kwetu hakuna Masaburi, wala hakuna maleria wala hakuna vyandarua"
Nawatakia week end njema ndugu zangu.
Last edited by a moderator: