Fatford
Member
- Mar 23, 2008
- 10
- 2
Unajua njia rahisi ya kuwakwepa waomba bia? hii hapa.
caller; Mambo vipi mshakaji weekend inakuwaje.
msela: Poa mi nipo mtaani nakamata Tusker tu..
caller; Sasa upo nije basi unipe bia moja mbili?
msela:Nipo hapa mbagala jeshini hapa njoo basi unipe company...
Akija huyo anahitaji ameshindikana.....
caller; Mambo vipi mshakaji weekend inakuwaje.
msela: Poa mi nipo mtaani nakamata Tusker tu..
caller; Sasa upo nije basi unipe bia moja mbili?
msela:Nipo hapa mbagala jeshini hapa njoo basi unipe company...
Akija huyo anahitaji ameshindikana.....