emmathy
Senior Member
- Sep 22, 2010
- 147
- 25
nimeona hoja mbalimbali toka wanachama wa sisi em kuhusu kuwapa nafas wengine wajaribu nafasi ya uspika hiyo nzuri ila nguvu hizo sikuziona kwenye nafas ya urais ndani ya chama zaid ya kukusisita nafas hiyo aliyonayo amalizie, nazani wengi mnakumbuka hivyo nilizani hata kwenye uspika ndani ya chama wangesisita na kupiga kampeni agombee sita(tutafakari)