umeona ee!
mi nimeambiwa habari hii nikabaki nashangaa as hii inakuwaje...labda tuwangoja wenye hekina na busara zao watupe mwangaza..
Sasa kuna tabu gani? Mbona na nyie kutwa mnaangalia mipododo humu halafu mnarudi home kwa sony wega zenu na vitambi. Mkiangalia vitambi vyetu mnavuta picha ya flat tummy, gwaride linasonga! Jinsi ambavyo kila mwanaume anatongoza, mie hata sishangai na wake zenu nao wakitongozeka!
Ngachoka!
Je tupo wangapi???? .........
kama ulizaliwa peke yako basi utakuwa kwa mumeo au mkeo uko peke yako kama mlizaliwa 4 basi kwa mumeo/mkeo mtakuwa 4 kama mko wengi kama kumi hivi na wengine ambao amezaa baba yako huwatambui basi ujue mko wengi kwa mumeo/mkeo, angalizo, ukitulizana mungu atakulinda kuanzia kwenye gono hadi hiv, hata kama mwenzio anatoka nje ila ukinusa pua yako nje tuuu kwishnehiii
Mmmh, hii taasisi mbona inachoshwa hivyo??
Hivi nashawishiwa kuamini hakuna wake za watu walotulia???
Ila kuna mmoja naye hapa, ananshangaza na vioja vyake na kaolewa.
Nadhani inabidi tuongelee za mazuri kuwapa moyo akina baba kuwa hawachakachuliwi kiasi hiki.
Mmmh, hii taasisi mbona inachoshwa hivyo??
Hivi nashawishiwa kuamini hakuna wake za watu walotulia???
Ila kuna mmoja naye hapa, ananshangaza na vioja vyake na kaolewa.
Nadhani inabidi tuongelee za mazuri kuwapa moyo akina baba kuwa hawachakachuliwi kiasi hiki.
Kweli kabisa maana tuna vunjwa moyo kila kukicha!
usishawishiwe kabisa!kila mtu ana akili zake kwakweli!mimi nimetulia kwenye ndoa yangu uzuri tu na naamini wapo wengi tu wenye maadili yao na wanaojua thamani ya miili yao!
muulize tukiziepuka watoto tutapata kwa kuwajamba?Hapana mkuu. dawa ni si kuziepuka bali dawa ni kuwa mwaminifu na commited kwenye ndoa yako.
kuongelea mazuri tu wakati mabaya yapo ni udhaifu na kufukia ukweli,ukweli ni lazima usemwe tu hata kama utagharimu.usishawishiwe kabisa!kila mtu ana akili zake kwakweli!mimi nimetulia kwenye ndoa yangu uzuri tu na naamini wapo wengi tu wenye maadili yao na wanaojua thamani ya miili yao!
Hizi ndoa za siku hizi hizi!!