jamiif
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 2,413
- 990
hivi nimekutana na hii kesi kuwa: kuna dada mmoja ni mke wa mtu, sasa akatokea kumpenda mwanaume mwingine (huku ana ndoa yake hapo) ila akamwambia huyo mwanaume kuwa amempenda sana japo anajua kabisa hawawezi kufika popote kwa kuwa yeye ni mke wa mtu, na huyo jamaa hajaoa bado. Cha kushangaza ni kuwa dada anamwambia huyo mwanaume kuwa eti ame-improve sana katika kumpa mumewe chakula cha usiku kwa kuwa wakati akiwa katika tendo hilo huwa anamuwaza huyo mwanaume wa nje na kuona kama ndiye anaye do naye. Hiyo imesababisha mumewe kuzidisha mapenzi kwake kwa kuwa anaridhishwa sana na uwajibikaji wa huyo mkewe wakati wa ku do...ndugu zangu hii imekaaje: ebu tujadili.
Nawasilisha wakuu.
Nawasilisha wakuu.